Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara waaswa kuhusu rushwa

Wednesday , 12th Aug , 2020

Wafanyabiashara nchini wameaswa kutojihusisha na vitendo vya rushwa na badala yake wametakiwa wasimamie utekelezaji wa masharti ya leseni zao kwa mujibu wa sheria, taratibu pamoja na kanuni za nchi.

Wafanyabiashara nchini wameaswa kutojihusisha na vitendo vya rushwa na badala yake wametakiwa wasimamie utekelezaji wa masharti ya leseni zao kwa mujibu wa sheria, taratibu pamoja na kanuni za nchi.

Kauli hiyo imetolewa na mmoja ya wafanyabiashara nchini ambao huusika na ukusanyaji wa madeni ya serikali bi Scolastica Kevela ambaye amewataka wafanyabiashara kutojihusisha na vitendo Hivyo kwa kuwa uzoefu uunaonesha wapo Watu wasiowaaminifu hukitumia kipindi hiki Cha Uchaguzi Mkuu kukiuka misingi ya kibiashara.

Aidha amesisitiza kuwa kwa Sasa ni vyema kutumia fursa zitakazotokana na uchaguzi huku akiwaasa wafanyabiashara wengine kuzidi kufanya uwekezaji bila hofu kwa kuwa Tanzania kihistoria imekuwa ikipita katika chaguzi zake bila Uvunjifu wa Amani.

Akihitimisha amewataka pia wananchi kuendelea kusimama imara ili kwa Pamoja kukua kiuchumi zaidi ya Uchumi wa Kati ambao Kama nchi imefikia kwa sasa "Uwekezaji uliopo bado una changamoto licha ya kuwa atakayestahimili katika biashara ni yule pekee mwenye msingi imara na anayezingatia kanuni za uwekezaji" alisema Kevela

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine