
Ansu Fati akiwa uwanjani katika moja ya mechi za Barcelona
Jorge Mendes ambaye ni wakala maarufu zaidi wa wachezaji duniani ambaye anamsimamia mchezaji bora duniani Cristiano Ronaldo.
Wadadisi wa mambo wanatia mashaka makubwa wa Fati kuendelea kusalia katika timu ya Barcelona kwa kuwa wakala huyu ni mtalamu sana wa kupambania masoko bora ya wateja wake ndani ya na nje ya Barcelona (Mendes anazingatia zaidi fedha kuliko kitu chochote).
Fati ambaye kiasili ni mzaliwa wa Guinea Bissau barani Africa lakini aliwafuata wazazi wake nchini Hispania na baadaye alijiunga na Barcelona ya vijana kisha akapandishwa kikosi cha wakubwa.