Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli atoa wito kufuatia ufunguzi wa Mahakama

Saturday , 19th Sep , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli, ametoa wito kwa majaji na watumishi wa mahakama kuu ya kanda ya kigoma kutumia miundombinu ya mahakama hiyo vyema.

Jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma

Ametoa wito huo leo Septemba 19, katika ufunguzi wa jengo la mahakama hiyo ambapo mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa ni Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye.

"Napenda kutoa wito kwa majaji na watumishi kutunza miundombinu iliyojengwa, waswahili wanasema kitunze kidumu natoa wito kwa majajai kuhakikisha mahakama hii inatimiza malengo yake ya kujengwa" alisema Rais Magufuli

Aidha kwa upande wake, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, ameshukuru kwa nafasi aliyopewa ya kufungua jengo hilo huku akisema ni jambo la heshima sana kwake

"Ni heshima kabisa kwa mimi kuwa hapa na kunikubalia kufungua jengo hili zuri sana na hekima kubwa kwangu nawashukuru sana" amesema Rais Evariste Ndayishimiye.

 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu