Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wawili mbaroni kufuatia kifo cha mwana CCM Iringa

Monday , 28th Sep , 2020

Mkuu wa mkoa wa Njombe, Mhandisi Marwa Rubirya, amesema kuwa tayari watuhumiwa 2, wanashikiliwa na jeshi la polisi kufutia kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM vyuo na vyuo vikuu mkoa wa Iringa aliyeuawa kikatili Septemba 20 na mwili wake kutupwa na watu wasiojulikana.

Kushoto ni Dkt. Frank Hawasi akikabidhi fedha za rambirambi zilizotolewa na Rais Magufuli kwa mzee Polkap Mlelwa, Baba mzazi wa marehemu Emmanuel Mlelwa

Mhandisi Rubirya, ameitoa kauli hiyo wakati wa mazishi ya kijana huyo, Emmanuel Mlelwa, yaliyofanyika katika kijiji cha Luvuyo kilichopo Kata ya Madope wilayani Ludewa.

Aidha kufuatia msiba huo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, ametoa salamu za pole na ubani wa shilingi milioni 5 kwa familia ya mzee Polkap Mlelwa, kufuatia kifo cha kijana wake, fedha ambazo ziliwasilishwa na Dkt. Frank Hawasi ambaye ni katibu wa NEC uchumi na fedha wa CCM Taifa.

Kijana Emmanuel Polkap Mlelwa aliyekuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Iringa alikuwa mkoani Njombe kwa ajili ya likizo na alitoweka tangu Septemba 20. 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali