Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mhagama,wanawake viongozi wakemea vurugu uchaguzi

Saturday , 24th Oct , 2020

Ikiwa zimebaki siku tatu kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Tanzania,wanawake viongozi kutoka vyama mbalimbali vya siasa wamekemea vikali vitendo vya uvunjifu wa amani kwa wale wote wenye nia ovu ya kutaka kuvuruga Uchaguzi huo.

Waziri wa Nchi, Sera,Bunge,Ajira,Vijana na Wenye Ulemavu,Jenista Mhagama

Wakizungumza hii leo katika mkutano na waandishi wa habari,kupitia Katibu Mtendaji Anna Ryoba Paul, wanawake viongozi  wamelipongeza jeshi la polisi kwa jitihada zake za kulinda amani katika kipindi hiki cha uchaguzi.

'' Pia tunawataka viongozi wa siasa kutotumia viongozi wa dini katika siasa ili kuepusha mgawanyiko miongoni mwa wananchi ''Alisema katibu huyo Anna Paul

Naye Waziri wa Nchi, Sera,Bunge,Ajira,Vijana na Wenye Ulemavu,Jenista Mhagama, ameungana na viongozi hao kwa kuzungumza nao kwa njia ya simu katika mkutano huo na kusema kuwa hatua hiyo ni nzuri  kwa nafasi walionayo na ni jukumu lao kulinda na kudumisha amani ya nchi yao.

''Kukutana kwenu kuna umuhimu katika kufanya maamuzi ya kuchagua viongozi mnaowataka na mna jukumu kubwa la kuhamasisha na kuilinda amani ya nchi.''Mh. Jenista aliongeza

Aidha Mh. Jenista amesema kuwa waathirika wakubwa iwapo amani na utulivu vitatoweka ni wanawake  na  kuwaasa watu wote kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi hivyo ni muhimu kuilinda amani ya nchi na siku ya kupiga kura wajitokeze kwa wingi.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali