Monday , 2nd Nov , 2020

Ni 'updates' za wasanii kutoka lebo ya Konde Gang Music chini ya msanii Harmonize ambapo usiku wa kuamkia leo walifanya sherehe fupi waliyoipa jina la 'ushamba party' ambayo ilifanyika kwenye makao makuu ya lebo hiyo.

Wasanii na viongozi wa Konde Gang walivyotokelezea kwenye ushamba party

Party hiyo ilifanyika kwa ajili ya kuukaribisha mwezi wa 11 na walitokelezea kwa kuvaa nguo ya 'style' ya kizamani ambayo kwa sasa inaonekana ya kishamba kama ukiivaa.

Kwa mujibu wa msanii Country Boy ambaye yupo katika lebo hiyo amesema kuwa "Ni unyamwezi na fashion flani hivi ya kizamani ila ya kishamba kwa wakati huu wa kisasa lakini inapendeza zaidi

Zaidi kuhusu tukio hilo bonyeza hapa chini kutazama.