Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yajayo Kunduchi yanafurahisha - Gwajima

Thursday , 26th Nov , 2020

Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, amewetaka wakazi wa Kunduchi kuwa na subira wakati serikali inaendelea na uchunguzi juu ya eneo lililopatwa na volcano ya tope.

Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima

Akizungumza leo hii, mara baada ya kufikia katika eneo hilo lililokumbwa na tope la Volcano Gwajima  amesema yeye kama mbunge atahakikisha analisimamia na kulifutilia suala hilo kwa ukaribu sana huku akishirikiana nao.

“Wataalam wetu wanaendelea kufanya uchunguzi ili wajue hiki ni kitu gani kama ni mabaidliko ya hali ya hewa au mzunguko wa dunia kwa hiyo tuvute subira wakati serikali inataka kujua tatizo hili jina lake linaitwa nini”  amesema Gwajima

Aidha Gwajima ameongeza kuwa atahakikisha anaiomba serikali kuweza kufanikisha suala la upatikanaji wa tathmini hukua linafanyika haraka huku akiwaahidi wanakunduchi kuwa yajayo yanfurahisha 

“Tuangalie ofisi ya serikali inafanya nini katika jambo hili na mimi ntakuwa nao bega kwa bega hakuna mtu atakaye onewa wala kupata shida kwasababu ya jambo hili niwahakikishieni mimi pamoja na wawakilishi wengine tutakuwa pamoja kuona litakalo tokea Kunduchi poleni kwa jambo hili lakini yajayo yanafurahisha” amesema Gwajima

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90