Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

London Derby kupigwa katika dimba la Tottenham

Friday , 4th Dec , 2020

Ni muendelezo wa London Derby katika EPL kwa wiki mbili mfululizo. Baada ya derby ya kwanza kuchezwa Jumapili iliyopita ambapo Chelsea walitoka sare na Tottenham, Jumapili hii ni zamu ya Arsenal kuwafata Tottenham.

Tottenham dhidi ya Arsenal

Arsenal bado wanataabika na matokeo mabovu kwenye EPL wakiwa wameshinda mchezo 1 kati ya 6 waliyocheza kwa siku za karibuni. Wanawafata Tottenham ambayo ipo kwenye kiwango kizuri kwa sasa na ndio vinara wa msimamo wa EPL wakiwa na pointi 21 baada ya michezo 10.

Mikel Arteta atakuwa na kibarua cha ziada katika mchezo huu ambao anakwenda kukutana na Jose Mourinho akiwa na timu iliyo na ari kubwa ikilinganishwa na Arsenal ambayo kwa kiasi kikubwa inaonekana kuporomoka kiwango mara dufu.

Tottenham na Arsenal wameshakutana mara 201 katika historia ya soka. Tottenham ameibuka kidedea mara 65, wametoka sare mara 54 na Arsenal ameshinda mara 82. Mchezo wa mwisho kuwakutanisha Tottenham na Arsenal ulichezwa Julai 12, 2020 ambapo Spurs waliibuka kidedea kwa ushindi wa 2-1. Hali itakuwaje msimu huu?.

Wataalamu wa Meridian wamekuweka odds za kibingwa. Ushindi kwa Tottenham umepewa odds ya 1.96, ushindi kwa Arsenal unaodds ya 3.77 wakati matokeo ya sare yamepewa odds ya 3.52. Kama ilivyokawaida, mashindano yakiwa yanaendelea kwenye Premier League, duka la Meridian bet ni sehemu utakayoweza kufuatilia kila kinachoendelea.

Pamoja na mchezo huu, kunamichezo mingine kibao inayochezwa katika wiki ya 11 ya Ligi ya Uingereza - EPL, unaweza kujionea odds za michezo hiyo kwa kubofya hapa.

Jisajili na Meridiabet hapa http://www.meridianbet.co.tz na furaha yako itaanzia hapo. Pakua App ya Meridianbet kwenye simu yako na uanze kubashiri kwa uhuru nyumbani kwako. Pia, unaweza kuweka pesa kwenye akaunti yako kupitia KwikPay, M-PESA au Airtel Money. Kumbuka, daima hauwezi kupoteza tiketi yako ya kwanza ukiwa na Meridianbet, tuna Bonasi ya 100% inakusubiri.

Meridian - Nyumba yenye odds bora na bonasi kubwa!
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine