Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara yaagiza maoni ya Profesa wa Chuo yapuuzwe

Wednesday , 10th Feb , 2021

Wizara ya Elimu imekanusha waraka wa tahadhari juu ya virusi vya Corona uliotolewa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Prof. Elifas Bisanda, na kwamba tahadhari hiyo ni maoni yake binafsi na haikuzingatia mwongozo wa tahadhari kama hiyo uliotolewa na Wizara ya afya Mei, 2020.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako

Taarifa hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano serikalini wa Wizara ya Elimu Oliva Kato, na kueleza kuwa waraka huo batili wa Profesa Bisanda ulitolewa Februari 8, 2021, na kwamba Wizara inawaelekeza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo hicho kuendelea na masomo na kazi zao kama kawaida.

Mbali na agizo hilo Wizara ya Elimu pia inatoa rai kwa taasisi zote za elimu nchini kuzingatia maelekezo ya serikali kuhusu udhibiti wa maambukizi ya ugonjwa wa Corona na kutoa onyo kwa viongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu kuacha kutumia nembo za serikali wanapotoa maoni yao binafsi. 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali