Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Afya yasisitiza kuchukua tahadhari

Sunday , 21st Feb , 2021

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewashukuru Watanzania wote kwa kutekeleza agizo la Rais Dk. John Magufuli la maombi ya siku tatu kuliombea taifa dhidi ya janga la corona, na imewasisitizia Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa mbalimbali.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Bw. Gerard Julius Chami

Agizo hilo lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli kuanzia tarehe 19/02/2021, siku ya Ijumaa alipokuwa kwenye ibada ya kuuga mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ambapo aliwataka Watanzania kutokuwa na hofu na kumtegemea Mungu.

Taarifa ya Wizara ya Afya iliyotolewa leo kupitia ukurasa wao imepongeza madhehebu yote, viongozi wa dini na wadau mbalimbali kwa kutekeleza maombi hayo kwa moyo wa dhati na kutoa rai kwa Watanzania kuendelea kumuomba Mungu na kuchukua tahadhari za afya na kufuata ushauri unaotolewa na wataalamu wa afya.

Aidha, Wizara imewasisitizia wananchi kuzingatia tahadhari zote ikiwemo, unawaji wa mikono mara kwa mara kwa kutumia maji tiririka, kutumia vipukusi (sanitizer), kufanya mazoezi, lishe bora, uvaaji wa barakoa sambamba na kuwalinda wazee na wale wenye magonjwa ya muda mrefu.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu