Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tumeifunga Atletico kwa ushawishi- Tuchel

Wednesday , 24th Feb , 2021

Kocha wa Chelsea Thomas Tuchel amewapongeza wachezaji wake kwa ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya Atletico Madrid ya Hispania jana usiku, kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16 ligi ya mabingwa barani Ulaya.

Olivier Giroud akifunga bao

Mchezo huo ulichezwa Bucharest nchini Romania na sio Hispania kutokana na masharti magumu ya kujikinga na maambukizi ya Covid -19 yaliyopo nchi humu kutoka kwa wageni nchini England.

Bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 68, baada ya mchezo huo kumalizika kocha Tuchel alionyeshwa kuridhishwa na ubora wa timu kwa ujumla

''Nimefurahi sana kwa kiwango walichoonyesha wachezaji wangu tumepata matokeo makubwa na yanaonekana kwenye ubao wa matokeo, kwamba tumepata matokeo mazuri kwa kiwango bora. Ilikuwa muhimu sana kwasababu tulitawala mchezo kwa dakika zote 96 na tunakubali ilikuwa ngumu sana kutengeneza nafasi lakini ilikuwa juhudi nzuri sana ya timu.''

Kwa upande mwingine Kocha huyo mjerumani akamwagia sifa mfungaji wa bao hilo la pekee katika mchezo huo Olivier Giroud.

''Ukimwona kila siku huwezi kushangaa. Yuko sawa kabisa, mwili wake uko sawa, umbo lake liko kwenye kiwango cha juu na kiakili, nina hisia anayafurahia kila siku, hiki ndicho kiwango anachohitaji kuwa nacho. Anafanya mazoezi kama mtoto wa miaka 20.

Huu ni ushindi wa 6 tangu kocha Thomas Tuchel aanze kukinoa kikosi cha the Blues katika michezo 8. Mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya Atletico Madrid utachezwa nchini England katika dimba la Stanford Bridge Machi 17, 2021.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu