Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe
Rai hiyo ameitoa wakati akizindua maonyesho ya Wikiya Viwanda ya Wanawake katika viwanja vya Posta Kijitonyama Manispaa ya Kinondoni yakitarajiwa kuhitimishwa Machi 8, siku ambayo ndiyo kilele cha siku ya Wanawake Duniani.