Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

ACT wataja sababu za kumchagua Othman Masoud

Tuesday , 2nd Mar , 2021

Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema kuwa waliamua kumpendekeza Othman Masoud, awe mrithi wa Maalim Seif, kwa sababu ya misimamo yake na uwezo wake uliojipambanua kuhusu maslahi ya Zanzibar na ni mtu ambaye hakutaka sifa za kisiasa.

Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud

Kauli hiyo ameitoa hii leo Machi 2, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, na kuongeza kuwa mchakato wa kupendekeza jina haukuwa rahisi kwani walihitaji mtu ambaye angeweza kuvaa viatu vya Maalim Seif, na kwamba kati ya wanasiasa wote wa Zanzibar hakuna ambaye ameweza kumtilia shaka Othman Masoud.

"Othman Masoud ukiwachambua wanasiasa wa Zanzibar hakuna hata mmoja ambaye atamtilia mashaka katika misimamo yake juu ya maslahi ya Zanzibar na yeye ameshawahi kuonesha misimamo mikubwa isiyotarajiwa pale maslahi ya Zanzibar yanapotishiwa na wakati akiwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar alichukua msimamo wa kuipinga Katiba inayopendekezwa katika vifungu visivyozingatia maslahi ya Zanzibar," ameeleza Ado Shaibu.

Jana Februari Mosi, 2021, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi, alimteua Othman Masoud, kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar na ameapishwa hii leo.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90