Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kisa cha binti anayedaiwa kubakwa mwaka mzima

Wednesday , 3rd Mar , 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga, ametoa ushuhuda wa binti aliyekuwa akibakwa na bosi wake kwa mwaka mzima kwa lengo la kulinda ajira yake lakini walipotaka kumsaidia alikimbia kwa kuhofia kupoteza kazi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga

Kauli hiyo ameitoa hii leo Machi 3, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, wakati akizungumzia ukubwa wa tatizo la rushwa ya ngono makazini na hata mashuleni, na kusema kuwa tatizo la rushwa ya ngono lipo na mara nyingi wahanga wa tatizo hilo huwa hawatoi taarifa.

"Kuna msichana alikuwa anabakwa na bosi wake karibia mwaka mzima ili aweze kubaki kazini na wasichana wengi katika hiyo ofisi walikuwa wamefukuzwa kwa sababu wamemkataa bosi na yeye kwa vile alikuwa na shida akamvumilia na tulipotaka kumsaidia akakimbia kwa kuhofia kukosa kazi na hii rushwa ya ngono inawapata watu ambao hawana chaguo," amesema Anna Henga.

Aidha, Anna Henga, ameongeza kuwa, "Mwarobaini wa tatizo la rushwa ya ngono siyo mmoja inahitaji sekta mbalimbali kushirikiana ili kuliondoa maana ni mbaya sana na linadhalilisha utu".

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu