Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbinu ya 'Dorome' ilivyofanikisha wizi wa magari 5

Wednesday , 7th Apr , 2021

Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limekamata magari matano ya wizi yaliyoibiwa katika sehemu mbalimbali hapa nchini, huku watu wawili wakikamatwa kuhusika na wizi huo

Magari ya wizi ambayo yamekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe

Akizungumza Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe Hamisi Issa amesema Kwamba wizi wa magari hayo umekuwa ukifanywa kwa mbinu tofauti ikiwa ni pamoja na kutumia vilevi maarufu kama dorome ili kufanikisha wizi huo.

"Taratibu za wizi wanaoiba siku hizi , ndugu zangu mnaotumia vinywaji endapo utakuwa unakunywa maji kama utakuwa umeenda kujisaidia baada ya muda na umeacha kinywaji chako usiendelee kukitumia tena kuna mtindo unaitwa dorome, dorome ni inachukuliwa ugolo ama valium inawekwa kwenye glass ama chupa ukinywa unalewa bila kujitambua na matokeo gari linaibiwa"

"Kwahiyo tunawasihi wananchi unapokuwa kwenye kilevi na unakuwa na mtu amabye umfahamu anagalia usalama wako kwanza, sasa hivi hawa wenye magari haya waje wayatafute ama wayafutae na wayachukue magari yao" amesema Kamanda Hamisi Issa 

Pia ameelezea kuibuka  kwa mtindio usio wa kawaida ambao watu wamekuwa wakiingia  kwenye nyumba ya ibada na kuanza kuiba vifaa vinayotumika kwenye ibada.

Kuhusu masuala ya watu kupoteza maisha Kamanda Issa  anasema tatizo la watu kujinyonga bado ni tatizo mkoani Njombe pamoja na masuala ya kishirikina nayo yamekuwa bado ni changamoto licha ya Kukabiliana Nayo Kwa Muda mrefu mapaka  Sasa.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu