Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Huku mtandaoni tupambane wenyewe" - Elizabeth

Monday , 12th Apr , 2021

Staa wa filamu Elizabeth Michael maarufu kama Lulu amesema akijaaliwa watoto wake basi watu watawaona wakiwa wanaenda shuleni, barabarani, clinic na hata waficha bali atawaacha waishi maisha ya kawaida.

Msanii wa filamu Elizabeth Michael

Aidha kwenye suala la kuwapa uhuru watoto kutumia mitandao ya kijamii Elizabeth Michael amesema ataangalia umri wake na kumpa mipaka kwa sababu ni vitu ambavyo vina athari kubwa kwa mtoto.

"Kiukweli hata mimi inshaallah nikijaaliwa watoto, watu watawaona shuleni, clinic au barabarani yaani sitawaficha ila watawaona kwenye maisha ya kawaida tu, kuna kipindi nilikuwa nafanya tofauti katika malezi ya mdogo wangu ila akili ikaja kubadilika baadae

"Huku mitandaoni tupambane wenyewe tu, lakini kama mtoto atafika umri wa kuamua anataka nini 'its okay' wazazi ku-support ila kwa mipaka fulani maana sio kwamba mitandao ndio chanzo kikuu cha kuleta negative impact kwa mtoto, ila ni moja ya chanzo na kiko 'very tricky' ni kuomba Mungu pia" ameongeza 

Elizabeth Michael ametoa comment hiyo kufuatia stori ambazo zinaendelea mitandaoni kwa sasa kuhusu msanii wa filamu Kajala Masanja na mtoto wake wa kike Paulah.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90