Msanii Chemical
Pia Chemical amesema watu wasiuchukulie poa muoenekano wake kisa anafanya muziki wa HipHop kwani akisema ajipodoe au apendeze kama wanavyofanya wanawake wengine basi atawachukulia mabwana zao.
"Nikiamua kuvaa nitachukua mabwana wengi sana ndiyo maana sitaki kukaa huko, mimi ni mzuri sana na nimeumbika kila kitu siku nikiamua kujipodoa kama wanavyofanya wengine au wanavyovaa mtanipiga kwa sababu nitachukua vitu vyenu vingi na sipo tayari kugombana na watu" ameeleza Chemical
Zaidi mtazame hapa kwenye video akizungumzia hilo.