Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nape aliteleza, Mumsamehe- Spika Ndugai

Monday , 3rd May , 2021

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amempa onyo mbunge wa Mtama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwa kitendo chake cha kuwasema vibaya wabunge wenzake 19 waliofukuzwa uanachama na CHADEMA. 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai

Hayo yamejiri hii leo Mei 3, 2021, Bungeni jijini Dodoma, zikiwa zimepita siku chache baada ya video kusambaa ikimuonesha mbunge Nape akichangia moja ya mjadala uliohusisha wabunge 19 wa Viti Maalumu akiwaita COVID-19 akidai kuwa wamefukuzwa chama na jambo hilo liheshimiwe. 

"Majuzi mdogo wangu Nape yalimtoka maneno kidogo na yamezunguka sana, ikifika mahali mbunge na Spika muanze kupishana naona haipendezi eeh kwahiyo sitopitia hoja zake, kitu kimoja ambacho hana uhuru sababu ya kanuni ni kuwasema vibaya wabunge wenzake, aliwataja kwa majina ya huko mitaani kwakweli alikosea sana", amesema Spika Ndugai

"Niliongea naye naamini aliteleza, ninachowaomba mumsamehe bure mtu akikufanyia kosa kubwa sana unachoweza kufanya ni kumsamehe bure aliwakosea sana, tuchunge sana midomo yetu tunapo-deal na binadamu wenzetu, Nape unapo-deal na wanawake Duniani kote unaongea nao kwa heshima", ameongeza Spika Ndugai 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu