Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kimeumana, Nay na Baby mama wake wapeana makavu

Monday , 10th May , 2021

Ni headlines za msanii Nay wa Mitego na mama wa mtoto wake Skyner Huniz ambapo siku ya leo wametupiana vijembe kupitia mtandao wa Instagram.

Nay wa Mitego na Baby Mama wake Skyner Huniz

Vijembe hivyo vimeanza baada ya Nay wa Mitego kumjibu shabiki kwamba hawezi ku-deal na mwanamke ambaye kilaza na mvuta bangi akiwa anamaanisha ni mama wa mtoto wake Skyner Huniz.

Baada ya muda mama wa mtoto wake huyo aliweka ujumbe ambao unaeleza kwamba Nay wa Mitego alipe ada ya mtoto kwanza la sivyo ataongea mambo mengine ya kumdhalilisha.

"Nimekuwa mvuta bangi leo hii daah, Mwanaume mwenye akili timamu hakimbii majukumu kwa mwanae wa damu, kwanini ada ya mtoto izue balaa lipa ada kabla sijachukua sheria, nikiamua kufungua huu mdomo utadhalilika, mimi ni kobe nimeinama nikinyanyua kichwa nikianza mwendo tusilaumiane" ujumbe wa Skyner Huniz 

Maneno hayakuishia hapo kwani Nay wa Mitego akajibu kupitia Insta Story yake kwa kuandika "Mwanamke anayejitambua hawezi kuweka matatizo ya kifamilia kwenye mitandao, unayenilalamikia nilipe ada umeni-block sasa napataje ujumbe wako, ina maanisha watu wa Instagram ndio walipe ada ya mwano, ushauri wangu nenda Mahakamani achana na mitandao" 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine