Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kanye aendelea kuteseka na Urais

Thursday , 13th May , 2021

Rapper Kanye West ameendelea kukumbwa na jinamizi la kesi, kisa Urais aliokuwa akiutaka mwaka 2020, inaelezwa kuwa kampuni ya SeedX Inc imemfungulia kesi Mahakani kwa kukiuka mkataba wa kazi walioingia mwezi wa 7.

Msanii Kanye West

Kwa mujibu wa taarifa za Mahakama zilizodakwa zinaeleza kuwa kampuni ya SeedX walifanya kazi kwa kipindi cha miezi 3 ya kuandaa taarifa, kuandaa mipango mkakati ya kampeni, kubuni na kuandaa matangazo, kujenga mahusiano na vyombo vya habari na kadhalika pasipo malipo yoyote.

Kampuni ya Lincoln Strategy Group ndio walifanya makubaliano na kampuni ya SeedX Inc kwa niaba ya Kanye mwezi Julai, 2020 ambapo thamani ya shughuli zote za kampeni ilikuwa dola milioni 10 na mpaka sasa dola  milioni 1.5 pekee ndizo zimelipwa.

Kanye West Julai 4, 2020 alitangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wa Marekani kupitia chama chake binafsi “Birthday Party” na katika uchaguzi huo alipata kura zaidi ya 60,000 kwenye majimbo 12, bado ameonesha nia ya kugombea tena kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2024.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu