Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ugumu wa Fainali Simba, Yanga Kigoma

Friday , 23rd Jul , 2021

Julai 25, 2021 ambayo ni siku ya Jumapili itakuwa ni Fainali ya Azam Sports Federation (ASF) ikuwakutanisha miamba wawili wa kabumbu nchini klabu ya Simba na Yanga huku ikiwa ndio fainali ya kwanza ya ASF kukutana.

Picha ya Mchezaji Shomari Kapombe na Ditram Nchimbi

Siku zote Fainali huwa ni ngumu lakini hii kuna mambo matatu ambayo yanaifanya kuwa ngumu zaidi ambayo ni;

1.Upinzani wa Jadi (Derby) uliopo kati ya vilabu hivi vikubwa vya soka nchini Tanzania kwani vimekuwa kwenye hali hiyo ya upinzani mkubwa kwa miaka mingi.

2.Kumbukumbu ya matokeo mabaya ya hivi karibuni kwa klabu ya Simba dhidi ya mpinzani wake Yanga, kwani atataka kudhihirisha ubora wake baada ya msimu huu kupoteza mchezo Julai 3 kwa goli moja na kutoka sare ya kufungana goli 1.

3.Yanga kutaka kuendeleza ubabe dhidi ya Simba na kutwaa kombe kubwa la kwanza baada ya misimu mitatu kupita mbele ya bingwa mtetezi na kutimiza ile ahadi ya kutwaa vikombe msimu wa 2020/21.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali