Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahabusu kupimwa Corona

Sunday , 25th Jul , 2021

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi amesema muongozo wa kujikinga na Corona unataka mahabusu anayeingia kwa mara ya kwanza gerezani ni lazima apimwe Corona.

Picha ya gereza

Agizo hilo amelitoa leo Julai 25, 2021 ambapo amegusa maeneo mbalimbali ikiwemo miongozo shuleni, daladala, misiba, matamasha ya muziki na michezo.

“Mahabusu wote wanaoingia gerezani kwa mara ya kwanza au mtu aliyehukumiwa lazima apimwe kabla ya kuingia gerezani, lakini pia ndugu watakaokwenda kusalimia magerezani ataingia mmoja mmoja” - Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya.  

Kwa upande wa elimu amesema, “Shuleni tumetoa muongozo wanafunzi kuanzia miaka 8 watavaa barakoa endapo hawana magonjwa yanayowazuia kufanya hivyo wale ambao wako chini ya miaka 8 watazingatia taratibu zingine kama kunawa mara kwa mara''- Prof Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya. 

Aidha kwa upande wa mikusanyiko ya matamasha na michezo Prof Makubi amesema, “Matamasha ya Michezo, Muziki na mengine lazima yapewe vibali, michezo yote ya Mpira tulitoa muongozo tunaomba muongozo ufuatwe ikiwa ni pamoja na kukaa umbali wa mita moja baina ya shabiki na shabiki”- Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine