
Mtu akichimba kaburi
Awali kabla ya maamuzi ya kuzikwa akiwa hai, baaadhi ya waumini wake walimkataza kufanya ujinga huo lakini baadaye, walijitokeza waumini wake watatu ambao waliamini madai yake ya kwamba angefufuka na kuamua kumzika na kwamba kabla ya kuzikwa aliwaambia waumini wake maneno haya.
"Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi," alisema mchungaji huyo.
Imeelezwa kuwa mara baada ya kumkuta amefariki dunia, waumini hao walianza kumfanyia maombi ya kumfufua tena jambo ambalo halikuwezekana.
Hadi sasa Jeshi la Polisi nchini humo linaendelea kuwashikilia waumini waliomsaidia kumzika akiwa hai mchungaji huyo.
Chanzo Diamond TV