
Mzee Peter Itunga, mkazi wa eneo la Mwananchi Tabata Dar es salaam
Zaidi tazama Video hapo chini
Mzee Peter Itunga ni mkazi wa eneo la Mwananchi Tabata Dar es salaam, akiwa kama mmoja wa watu walionusurika kwenye ajali ya lori kuacha barabara na kugonga nyumba yake, ameeleza jinsi ilivyokuwa.
Mzee Peter Itunga, mkazi wa eneo la Mwananchi Tabata Dar es salaam
Zaidi tazama Video hapo chini