Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro
Kauli hiyo ameitoa alipowasili nchini akitokea nchini Rwanda alipokwenda kwenye ya siku tatu ya kikazi, iliyolenga kuboresha ushirikiano wa kukabiliana na matukio mbalimbali ya kijinai ikiwemo ugaidi.
Pia ameeleza kuwa mkakati mwingine waliojadili ni namna ya kuangalia suala la elimu ya masuala ya kidini inayotolewa kwa watoto wa dini zote kama mafunzo wanayopewa yanalenga kuwapa elimu ya kiroho na kizalendo na si mambo mengine.