Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shaka ahisi Wizara ya Afya ilimdanganya Dkt Mpango

Saturday , 18th Sep , 2021

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Shaka Hamdu Shaka, ameitaka Wizara ya Afya kuacha sinema za maonesho kwa kutoa ahadi zisizo na matokeo yanayoonekana kwa wananchi kwa kushindwa kumlipa hati za malipo takribani 4 mkandarasi anayejenga hospitali ya kanda Mtwara.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Shaka Hamdu Shaka

Shaka amesema kuwa pamoja na kasi nzuri ya ujenzi inayofanywa na mkandarasi ambaye ni Shirika la Nyumba la Taifa, lakini Wizara ya Afya, imekuwa kikwazo kikubwa katika kuhakikisha hospital hiyo inakamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

"Naitaka Wizara ya Afya kueleza kama walimdanganya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango alipofika kuweka jiwe la msingi kwamba mapema mwezi Oktoba hospitali hii itakuwa imeanza kutoa huduma lakini ajabu mpaka leo hakuna dalili hizo, sasa ni vizuri wabadilike waanze kuwa watendaji badala ya kuwa wapiga maneno matupu," amesema Shaka.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90