Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manny Pacquiao kugombea Urais Ufilipino 2022

Monday , 20th Sep , 2021

Bondia wa kimataifa kutoka nchini Ufilipino, Manny Pacquiao ameweka wazi dhamira yake ya kuwania nafasi ya kiti cha urais kwa mwaka 2022, kwa kutokupendezwa na ufisadi uliokithiri kwenye serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Rodrigo Duterte ambaye anayemaliza wakati wake.

Bondia Manny Pacquiao akizipiga na Yordenis Ugas wa Cuba kwenye mpambano wa kuwania mkanda wa ubingwa wa WBA super welterweight Agosti mwaka huu ambapo Pacquiao alipigwa na kupotwza ubingwa huo.

Pacquiao, ambaye sasa ni seneta, aliteuliwa Jumapili na washirika wake wa chama cha PDP-Laban wakati wa bunge la kitaifa la chama hicho, ikiwa ni siku chache baada ya chama tawala kumchagua Rais wa sasa kama chaguo lao kuwania nafasi ya makamu wa urais na msaidizi wake wa muda mrefu, Seneta Christopher Go, kama mgombea urais.

Pacquiao kwa nyakati tofauti alikuwa mshirika wa karibu wa Rais Duterte, lakini baada ya uchuguzi wake na kugundua kuwa zaidi ya bilioni 10 za kifilipino zilizotolewa kwaajili ya misaada ya janga la UVIKO-19 iliyokusudiwa kusaidia familia masikini bado hazijulikani zilipokwenda.

Bingwa huyo wa mara nane kwenye uzani wa kati wa ngumi ulimwengu na shujaa mpendwa wa kitaifa anamaliza uvumi uliokuwa ukiendelea juu ya kustaafu masumbwi wiki kadhaa baada ya kupoteza pambano lake la mwisho la dhidi ya Mcuba, Yordenis Ugas huko Las Vegas.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine