Picha ya mchekeshaji Ebitoke
MC Pilipili anasema mwaka mmoja kabla ya kifo cha mama yake alimuandikia barua ya kumwambia ikifika muda mungu akimuita kuhubiri injili basi aende yeye pamoja na mke wake.
Zaidi mtazame hapa chini akiizungumzia kazi yake hiyo mpya.