Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Akizungumza hii leo Septemba 25, 2021, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam, amesema kuwa amepata nafasi ya kuzungumza na viongozi mbalimbali na kuwasihi Watanzania kushikamana katika kulijenga Taifa.
Tazama video hapa chini