Picha ya Msanii Adele
Spotify wamethibitisha kuwa wimbo huo mpya kutoka kwenye albamu yake ya nne ‘30’ umeweka rekodi ya kusikilizwa zaidi katika mtandao huo licha ya kutokuweka wazi idadi ya streams, na awali rekodi hiyo ilikuwa inashikiliwa na BTS kupitia ‘Butter’ baada ya kufikisha streams Milioni 11.04.
Pia ‘Easy On Me’ huko YouTube umefikisha watazamaji zaidi ya Milioni 49 ukilinganisha na “Hello” ambao ulipata watazamaji zaidi ya Milioni 27 ndani ya siku moja.