Picha ya Sooraj Kumar akiwa Mahakani
Waendesha mashtaka wamesema Kumar, ambaye alikuwa mfanyakazi wa benki, hakuwa na furaha katika ndoa yake na aliogopa kutoa talaka kwa Uthra kwasabau angelazimika kurudisha mahari kubwa, gari mpya na takriban dola 20,000 ambazo ni zaidi ya Tsh. Milioni 46.