
Picha ya Mchezaji Lucky Maselesele
Msemaji wa polisi, Luteni-Kanali Mavela Masondo amesmea mchezaji huyo ameuawa siku ya Jumamosi, Oktoba 16 eneo la Tsutsumani huko Alexandra jijini Johannesburg .
Mavela Masondo pia amesema washukiwa wote wamefunguliwa mashtaka ya mauaji ya mwanandinga huyo.