Sehemu ya uwanja wa ndege wa Chato
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mhandisi Haroun Senkuku, wakati anakagua na kutolea ufafanuzi juu ya skendo iliyohusisha uwanja huo kuwa na mipasuko mikubwa iliyoota nyasi.
Aidha Mhandisi Senkuku amesema serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 58 kwa ajili ya ujenzi wa uwanja huo unaojengwa kwa awamu ambao una urefu wa kilomita tatu na upana mita 45 ambao bado upo kwenye hatua za ukamilishaji.