Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omary Kumbilamoto
Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 25, 2021, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio.
"Lengo letu ni kuifanya Kariakoo watu wafanye kazi saa 24 yaani usiku na mchana,", amesema Meya Kumbilamoto