
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
Kauli hiyo ameitoa hii leo Desemba 11, 2021, jijini Dar es Salaam, wakati wa kongamano la biashara na uwekezaji.
"Juzi hapa mmesikia tena, Tanzania ni nchi hatarishi kwa ugonjwa mpya wa wimbi la nne, sisi hatuna mgonjwa hata mmoja wa wimbi la nne hospitali, yote hiyo ni vita ya kibiashara kwahiyo sekta binafsi mtusaidie kusema haya, tukiacha watu wanapotosha wanaharibu nchi," amesema Waziri Mkuu