Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson
Kauli hiyo ameitoa hii leo baada ya kukutana na wahariri na waandishi wa habari Jijini Dodoma na kusisitiza kwamba wabunge hao 19 wa viti maalum kutoka CHADEMA ni halali na si haramu kwani wasingekuwepo bungeni kama ni haramu.

