Thursday , 10th Mar , 2022

Cappuccino Tunda amezima story za mitandaoni zilizosemekana ameachana na Whozu baada ya kumpost 'baby dady' wake huyo na kumwambia anampenda sana na ni mtu special kwenye moyo wake.

Picha ya Tunda na Whozu

Tunda amemuandikia ujumbe huu Whozu kwenye siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake, 

"Happy Birthday baba Lola, Mwenyenzi Mungu akaendelee kukubariki na kukupa umri mrefu zaidi, binafsi nakupenda sana na unajua una nafasi yako special kwenye moyo wangu. Nakupenda bigt ime baby daddy".

Kwa sasa Whozu na Tunda wana mtoto mmoja wa kike anayeitwa 'Lola'.