
Karibu dozi 200 za chanjo zimepelekwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo mashariki mwa Goma
Ripoti za shirika hilo zinaeleza kuwa watu wawili wamefariki hadi sasa nchini humo.
Kifo cha kwanza kilitokea April 21 na cha pili Jumanne ikiwa ni mlipuko wa 14 wa Ebola katika nchi hiyo