
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, akitoa pesa kwa wananchi waliojeruhiwa na Panya road
Kiasi hicho cha pesa amekitoa leo Mei 4, 2022, baada ya mbunge huyo pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, kwenda kuwatembelea na kuwajulia hali waliojeruhiwa na vijana hao.
Jumla ya wananchi 19 katika mtaa huo walijeruhiwa kwa mapanga na vijana wanaodaiwa kuwa ni Panya road usiku wa kuamkia Mei 2, 2022.