Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara waomba maboresho soko la ndani

Wednesday , 4th May , 2022

Baadhi ya wafanyabiashara mafundi wa bidhaa za asili za samani eneo la Mwenge Dar es Salaam wamesema ni vyema sasa taasisi husika ikiwemo maliasili wakaboresha soko la ndani Kwa bidhaa za viti meza ambazo huzalisha kupitia malighafi za ndani hususani katika kipindi hiki ambacho serikali in

Ukizunguka katika maeneo mengi ya hotel migahawa viti na meza hizi za asili  Jijini hapa imekuwa maarufu sana jambo ambalo limewapa nguvu vijana hawa kufanya uwekezaji wa utengenezaji bidhaa hizi za samani licha ya changamoto ya ushindani wa soko na bidhaa kutoka nje.

"Kusema ukweli Kuna baadhi ya vitu tunavitumia hapa vingi hutoka nje ya Dar es Salaam vingine huusisha misitu hivyo zipo changamoto ya kuvipata alisema  "Eliya Nicholas - fundi/mfanyabiashara.

Amesema bidhaa wanazozalisha hutumika popote nyumbani na hata kwenye sehemu za biashara hivyo kuiomba serikali ikiwemo watu wa maliasili kuona namna ya kuwasaidia kwa urahisi upatikanaji wa malighafi ikiwemo za misitu ambazo ndiyo malighafi kubwa.

"Biashara ni ngumu na tunategemea milunda kutoka porini hivyo katika kipindi hiki Cha mvua malighafi zinkuwa shida kuzipata zinachelewa kutokana na Mvua lakini kingine watu wathamini bidhaa za ndani"Abdalah Ali-fundi fanicha

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90