Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Royal Tour ni lango la maendeleo Tanzania

Friday , 13th May , 2022

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mwenyekiti wa Kamati ya Rais ya Kuitangaza Tanzania, Dkt. Hassan Abbasi amesema filamu ya Royal Tour ni lango linalokwenda kufungua maendeleo kwenye kila sekta hapa nchini.

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mwenyekiti wa Kamati ya Rais ya Kuitangaza Tanzania, Dkt. Hassan Abbasi

Akizungumza leo Mei 13, 2022 kwenye Kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali jijini Tanga. Dkt, Abbasi ametoa wito kwa Maafisa Habari kuitangaza  na amemkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali nakala ya filamu hiyo ili isambazwe nchini kupitia kwa maafisa hao.

Dkt.Abbasi amebainisha kuwa filamu hiyo inatarajiwa kutazamwa na zaidi ya watu bilioni moja katika kipindi kifupi huku akifafanua kuwa uzinduzi uliofanywa nchini Marekani ambako ni soko kuu la utalii wa Tanzania Rais Samia ameweza kukutana na viongozi matajiri katika sekta mbalimbali ambao wameonyesha nia ya kuwekeza hapa nchini.

Kauli mbiu ya kikao hicho ni " Mawasiliano ya Kimkakati nyenzo muhimu kufanikisha  sensa ya Watu na Makazi 2022"

Kikao kazi hicho kimefungwa rasmi na Waziri wa TAMISEMI Innocent Lugha Bashungwa ambaye amesisitiza Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali kusemea mafanikio ya Serikali.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine