Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga hatuna bahati ya kufunga magoli- Kocha Nabi

Saturday , 14th May , 2022

Kocha mkuu wa klabu ya Yanga SC Nasreddine Nabi amesema kikosi chake kilikosa bahati ya kufunga kwenye michezo mitatu ya Ligi Kuu iliyopita ambayo yote walitoka suluhu. Amesema hayo kuelekea mchezo wao wa Ligi kesho dhidi ya Dodoma Jiji FC utakao chezwa uwanja wa Jamuhuri Saa 10 jioni.

Kocha wa Yanga Nasreddine Nabi

Nabi amesema hayo alipoulizwa swali kuwa amejipangaje kuhakikisha wanashinda mchezo wa kesho baada ya kucheza michezo mitatu mfululizo ilyopita bila kupata ushindi matokeo ambayo yametengeneza hofu miongoni mwa mashabiki kwenye mbio za ubingwa.

“Hatuna shaka, hatuna wasiwasi, tunaamini uwezo wa kwetu tunaamini uwezo wa wachezaji wetu. Kwenye hizo mechi 3 sio kama mpango wetu haukuwa mzuri, ni mechi ambazo tumepata nafasi nyingi za kufunga magoli lakini tulikosa bahati ya kufunga” Amesema Nasreddine Nabi

Timu ya wananchi inaongoza Ligi ikiwa na alama 57 tofauti ya alama 8 dhidi ya Simba walio nafasi ya pili wakiwa na alama 49, timu zote zikiwa zimecheza michezo 23 ikiwa imesalia michezo 7 kabla ya msimu kumalizika.

Lakini pia kuelekea mchezo huu kocha Nabi amethibitisha kuwa watamkosa kiungo wao Yannick Bangala kwenye mchezo huu. Bangala amefiwa na ndugu yake hivyo hatakuwa sehemu ya mchezo wa kesho. Na kocha huyo ametuma salma za pole kwenda kwa mchezaji huyo kwaniaba ya benchi la ufundi na wachezaji wote wa Yanga.A

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90