
Katibu wa Halmashauri kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Shaka Hamdu Shaka
Akizungumza kwenye ofisi kuu ya CCM Dodoma amesema kuwa hiyo ni moja ya njia ya Watanzania kulinda tunu ya Taifa na uwepo wa Demokrasia endelevu nchini ili kuweza kuijenga Nchi.
Shaka amewahakikishia Watanzania kuendelea kunufaika katika uimarishwaji wa misingi ya haki utawala bora na utoaji huduma za kijamii, kiuchumi na kisiasa.