Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wenye mabucha wapigwa marufuku hii

Wednesday , 25th May , 2022

Bodi ya Nyama Tanzania (TMB), imepiga marufuku matumizi ya nondo nyeusi katika maduka ya nyama, na badala yake zitumike nondo za silver ikiwa ni hatua mojawapo ya kuboresha biashara ya nyama katika mkoa wa Kagera.

Nyama zikiwa zimening'inizwa kwenye nondo zilizozuiliwa

Agizo hilo limetolewa na Daktari wa mifugo kutoka TMB ofisi ya Kanda ya Ziwa, Msomi Anthony, wakati wa ukaguzi wa maduka ya nyama na machinjio mbalimbali katika Manispaa ya Bukoba, ambaye amesema kuwa nondo nyeusi zinasababisha nyama kuharibika haraka kutokana na kupata kutu. 

"Tumepiga marufuku matumizi ya nondo nyeusi, lakini pia tumezuia uendeshaji wa biashara bila kufuata utaratibu kwa maana ya uwepo wa wadau ambao hawajasajiliwa, na pia tumefanya kazi ya kuhakikisha unaundwa umoja ili wadau waweze kupata fursa zilizopo katika mnyororo wa thamani wa nyama, tunashukuru Mungu tunakwenda vizuri," amesema Dkt. Anthony

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90