Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga wajinasibu na rekodi bora CCM Kirumba

Wednesday , 25th May , 2022

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Hassan Bumbuli amejinasibu kuwa rekodi zinawabeba dhidi ya Simba katika michezo waliocheza Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.

Yanga watacheza dhidi ya Simba kwa mara ya 4 msimu huu

Miamba hii ya soka nchini itakutana Jumamosi hii Mei 28 katika uwanja wa CCM Kirumba kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup. Kuelekea mchezo huu Bumbuli amesea Jiji la Mwanza na uwanja wa Kirumba ni nyumbani kwa Yanga na anaamini hii inatosha kuwapa matokeo katika mchezo huo utakaocheza majira ya Saa 9:30 Alasiri.

 

''Uwanja wa CCM Kirumba ni uwanja wa nyumbani wa Yanga, na tukizungumzia Mwanza ni sehemu ya nyumbani ya Yanga. Katika mechi 4 maarufu ambazo zinakumbukwa hapa Mwanza, ni ile ya mwaka 1975. Ile ndo mechi inayoshikiria rekodi kubwa zaidi na inakumbukwa zaidi ya magoli 2-1, ambayo tulishinda. Katika miaka 20 iliyopita Simba ilipata ushindi mechi moja, lakini zilizofata tuliwapiga 3 taliwapiga 1-0.'' Amesema Bumbuli.

Kwa upande mwingine Bumbuli amethibitishwa kuwa kikosi hicho kitarejea jijini Mwanza siku ya Ijumaa Mei 27, kikitokea mkoani Shinyanga ambako kimeweka kambi ya mazoezi kujiandaa na mchezo huo wa nusu fainali dhidi ya watani zao. Na ameweka wazi kuwa hakuna mchezaji hata mmoja mwenye majeruhi wachezaji wote wapo vizuri kuelekea mchezo huo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine