Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbowe alipamisi Ikulu - Musukuma

Thursday , 26th May , 2022

Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma amesema katika uongozi wa awamu ya Sita wa Rais Samia Suluhu Hassan sio wanawake tu wanaofurahia bali hata wanaume wanafurahia uongozi wake

Musukuma ametoa kauli hiyo leo Mei 26 bungeni Jijini Dodoma wakati wa kuchangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa uongozi wake 

""Kwa uongozi wa Mama Samia sio wanawake tu wanaomfuraia hata sisi wanaume tunamfuraia sana, hata vyama vya upinzani, hebu angalia leo Mbowe ndiye anaongoza kwenda Ikulu najua alipamisi sana lakini amepata nafasi yakuingia na kutoka zaidi ya mara tano"

Musukuma amesema baada ya kuondokewa na Rais wa awamu ya tano, Tanzania imepata kiongozi ambaye ameenda kuionyesha Afrika kwamba Tanzania ni nchi ambayo inadumisha amani.

Leo Bunge la Tanzania limepitisha azimio la la kumpongeza Rais Samia Suluhu baada ya kupokea Tuzo ya Babacar Ndiaye kwa mwaka 2022 (Babacar Ndiaye Trophy 2022) na kwa kutambuliwa kama miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa duniani

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine