Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wahasibu, Serikali kuwasaidia wamachinga

Monday , 20th Jun , 2022

Ili kuyainua makundi maalumu ya machinga na vijana wa Bodaboda serikali kupitia Wizara ya maendeleo ya Jamii imeingia makubaliano na Chama cha wahasibu TAA kufanya usimamizi na kutoa mafunzo kwa makundi haya ili kupitia wataalamu hao waweze kufahamu misingi ya kutunza fedha

Akitoa kauli hiyo mara baada ya kuingia makubaliano hayo kati ya Serikali, TAA na chama cha wamachinga SHIUMA amesema wamedhamiria kupata takwimu sahihi ili kuweza kuwaratibu wamachinga kote nchi nzima kujua walipo kwa mifumo hai iliyowekwa.

"Haiwezekani kuwa na watu ambao wao miaka nenda rudi hawakui kibiashara ndo maana sasa serikali imeangalia na kuweka sasa mifumo ambayo mmachinga atakuwa kibiashara" alisema Dr Mpanju ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii.

"Kama wahasibu wote nchi nzima watashirikiana basi taaluma yao itawasaidia wamachinga kujifunza kuweka bajeti ili kukuza mitaji yao" amesema CPA Victorius Kamuntu ambaye ni Makamu wa Rais TAA

Awali kabla ya makubaliano uongozi wa wamachinga taifa umeomba kwa serikali kuondoshwa kwa baadhi ya changamoto za kisera zilizopo kwa baadhi ya halmashauri nchini

Akisoma kwa wamachinga waiohudhuria makubailliano hayo mwanasheria wa Wizara  amesema ni muda sasa kwa wamachinga kutumia fursa hiyo kibiashara.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu