Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utekelezaji wa agizo la RC Makalla Dar es salaam

Tuesday , 21st Jun , 2022

Kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla kutoa maagizo matano kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa ikiwemo kudhibiti baadhi ya wafanyabiashara kutorejea kwenye maeneo yaliyokatazwa EATV imepita katika mitaa kuona uhalisia ulivyo.

EATV imeshughudia wafanyabiashara wakiwa katika maeneo yao ya biashara na mengi yakiwa ni maeneo yanayoruhusiwa kufanya biashara ambapo baadhi ya wafanyabiashata wameeleza hali ilivyo

"Sisi hapa tangu zoezi lianze la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo sisi tulipewa namba maalum sasa hii ni rai kwa wengine sio watoke huko waje tuu kupanga bila kuwa na utaratibu watabebewa biashara zao" alisema Japhet Mafuru Mfanyabiashara Machinga Complex

EATV imefika kwenye ofisi ya mweyekiti wa Mtaa wa Kigogo kati kujua hali ikoje katika mtaa huo kuhusu mpangilio wa Wafanya biashara.

"Mimi kwenye mtaa wangu wafanyabiashara wote tuliowapanga bado hawajarudi kwenye maeneo yaliyokatazwa nitoe wito kwa viongozi wenzangu kusimamia maagizo" alisema Rashid Luoga Mwenyeti wa Mtaa wa Kigogo kati.

Hata ivyo waswahili wanasema sheria ni msumeno ambapo watalaamu wa sheria wanasema kutumia eneo kwa kujinufaisha ambalo si lako kihalali ni makosa Kwa mujibu wa sheria hivyo kuwataka wafanya biashara wanaolazimisha kurejea kwenye maeneo yaliyokatazwa kuacha mara moja.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine