
Picha ya Bentan Wiwa aliyekatwa sehemu za siri na mkewe
Bentan Wiwa anasema ameacha vyombo vya sheria kufuata mkondo wake lakini kutoka moyoni amemsamehe japo hataweza kurudiana naye tena kwa sababu alitaka kutoa uhai wake.
Mengine zaidi aliyoyazungumza kuhusu tukio hilo tembelea Youtube ya East Africa Radio.