Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatoa tamko zito CAF

Monday , 4th Jul , 2022

Kuelekea mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, uongozi wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Yanga umechimba mkwara mzito kwa kusema tayari umeanza kufanya maandalizi mazito ya ndani na nje ya uwanja kuhakikisha wanaandika rekodi ya kufika mbali katika michuano hiyo.

kikosi cha Yanga

Yanga tayari imekata tiketi ya uwakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kufanikiwa kutawazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu msimu huu, huku wakiandika rekodi ya kushinda ubingwa huo mara 28.

Katika michuano hiyo msimu uliopita Yanga waliondolewa katika hatua ya awali, mara baada ya kukubali kipigo cha jumla cha mabao 2-0 kutoka kwa Rivers United ya Nigeria, ambapo walifungwa bao moja nyumbani na moja ugenini.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano Yanga, Injinia Hersi Said amesema tunafahamu kuwa mashindano ya kimataifa sio jambo dogo, ni wazi kuwa tunapaswa kufanya kazi kubwa ili kupata mafanikio katika mashindano hayo kwa kuwa tunakutana na timu bora zaidi kutoka mataifa mengine.

“Lakini nataka niwaambie kuwa sisi hatufanyi masikhara tumejipanga kuhakikisha tunafikia malengo tuliyojiwekea, tunajua wazi kuwa msimu uliopita tuliondolewa katika hatua ya awali na hatutaki kuona hilo likitokea msimu huu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine